kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru 2023 na wenzake, viongozi mbali mbali Watumishi wa…
Habari za kijamii
-
Habari za kijamiiHabari za kimataifaHabari za KisiasaHabari za uchumi
-
Habari za kijamiiHabari za kimataifaHabari za KisiasaHabari za uchumi
Mwenge wa Uhuru 2023 ulikimbizwa hadi Kwa Rais mstaafu wa awamu ya tano (5) Mhe. Salmin Amour, kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru 2023 na wenzake, viongozi mbali mbali, watumishi wa Serikali, wapiganaji wa JWTZ walishiriki katika zoezi la upandaji miti ili kuhifadhi mazingira katika eneo hilo na kusalimiana na Mhe Rais Mstaafu wa awamu ya tano (5) nakutoa salamu za Mwenge wa Uhuru 2023.
Mwenge wa Uhuru 2023 ulikimbizwa hadi Kwa Rais mstaafu wa awamu ya tano (5) Mhe.…
-
Habari za kijamiiHabari za kimataifaHabari za Kisiasa
Mhe Mkuu wa Wilaya ya Mjini Rashid S. Msaraka akiukimbiza Mwenge wa Uhuru 2023 hadi usawa wa nyumba ya Mhe Fatma Said Ali.
Mhe Mkuu wa Wilaya ya Mjini Rashid S. Msaraka akiukimbiza Mwenge wa Uhuru 2023 hadi…
-
Habari za kijamiiHabari za kimataifaHabari za KisiasaHabari za uchumi
Mhe Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Idrisa Kitwana Mustafa akimkabidhi Mwenge wa Uhuru 2023 Mhe Mkuu wa Wilaya ya Mjini Rashid S. Msaraka.
Mhe Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Idrisa Kitwana Mustafa akimkabidhi Mwenge wa Uhuru 2023…
-
Habari za kijamiiHabari za kimataifaHabari za KisiasaHabari za uchumi
Mhe Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Albert Chalamila akimkadhi Mwenge wa Uhuru Mhe Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Idrisa Kitwana Mustafa.
Mhe Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Albert Chalamila akimkadhi Mwenge wa Uhuru Mhe…
-
Habari za kijamiiHabari za kimataifaHabari za Kisiasa
Mwenge wa Uhuru 2023 umewasili uwanja wa ndege wa Abeid A. Karume ukitokea Mkoani Dar Es Salaam.
Mwenge wa Uhuru 2023 umewasili uwanja wa ndege wa Abeid A. Karume ukitokea Mkoani Dar…
-
Habari za kijamiiHabari za kimataifaHabari za KisiasaHabari za uchumi
Viongozi na wananchi mbali mbali wakicheza ngoma ambazo zilikua zikitumbuizwa na wasanii mbali mbali katika mapokezi ya Mwenge wa Uhuru 2023.
Viongozi na wananchi mbali mbali wakicheza ngoma ambazo zilikua zikitumbuizwa na wasanii mbali mbali katika…
-
Habari za kijamiiHabari za kimataifaHabari za KisiasaHabari za uchumi
Viongozi mbali mbali wa Mkoa , Wilaya, viongozi vyama vya Siasa, wafanyakazi wa serikali na wananchi wa Mkoa wa Magharibi wakiwa katika eneo la mapokezi (ABEID A. KARUME) wakiusubiri Mwenge wa Uhuru ukitokea Mkoa wa Dar ES Salaam
Viongozi mbali mbali wa Mkoa , Wilaya, viongozi vyama vya Siasa, wafanyakazi wa serikali na…
-
Habari za kijamiiHabari za kimataifa
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi akabidhi zawadi ya shilingi Milioni 30 na kombe kwa mshindi wa Mapinduzi Timu ya Mlandege Fc ya Zanzibar ,Mshindi wa pili Singida Big Stars kiasi cha Shilingi milioni 20. Michuano hiyo ilifanyika katika uwanja wa Amani Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi akabidhi zawadi…
-
BiasharaHabari za kijamiiHabari za kimataifaHabari za KisiasaHabari za uchumiSoko
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi afungua soko la kisasa la samaki Malindi Zanzibar lililojengwa kwa mashirikiano kati ya SMZ na Serikali ya Japan.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi afungua soko…