Home Habari za kijamii Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Mjini akipokea ugeni wa Viongozi wa Chama cha Skauti kutoka Tanzania Bara.

Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Mjini akipokea ugeni wa Viongozi wa Chama cha Skauti kutoka Tanzania Bara.

by Ally Rutengwe

Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Mjini akipokea ugeni wa Viongozi wa Chama cha  Skauti kutoka Tanzania Bara huko bandarini Malindi Zanzibar, Viongozi hao wamemshukuru Mkuu wa Wilaya kwa mapokezi mazuri walio yapata baada kufika Zanzibar.

 

related posts

Leave a Comment