Home WATU WENYE MAHITAJI MAALUMU

WATU WENYE MAHITAJI MAALUMU

by Ally Rutengwe

 WATU WENYE ULEMAVU

Wilaya ya Mjini inashughulikia sekta ya watu wenye ulemavu kama ifuatavyo:

  • Kusaidia kulinda na kutetea haki kwa maslahi ya sharia za watu wenye ulemavu pale zitakapo kiukwa katika Wilaya
  • Kusaidia kuyafuatilia masuala mbali mbali yanayohusu watu wenye ulemavu ili kuona haki zao zinapatikana katika Wilaya
  • Kusaidia kupanga na kuweka utaratibu mzuri wa kupata na kuandaa taarifa za watu wenye ulemavu katika Wilaya
  • Kutoa taaluma ya masuala ya watu wenye ulemavu
  • Kufanya tathmini na ufuatiliaji wa masuala ya watu wenye ulemavu