Home Habari za kijamii Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti  wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi akabidhi  zawadi ya shilingi Milioni 30 na kombe kwa mshindi wa Mapinduzi  Timu ya Mlandege  Fc ya Zanzibar ,Mshindi wa pili Singida  Big Stars  kiasi cha Shilingi milioni 20. Michuano hiyo ilifanyika katika uwanja wa Amani Zanzibar.

Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti  wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi akabidhi  zawadi ya shilingi Milioni 30 na kombe kwa mshindi wa Mapinduzi  Timu ya Mlandege  Fc ya Zanzibar ,Mshindi wa pili Singida  Big Stars  kiasi cha Shilingi milioni 20. Michuano hiyo ilifanyika katika uwanja wa Amani Zanzibar.

by Ally Rutengwe

Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti  wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi akabidhi  zawadi ya shilingi Milioni 30 na kombe kwa mshindi wa Mapinduzi  Timu ya Mlandege  Fc ya Zanzibar ,Mshindi wa pili Singida  Big Stars  kiasi cha Shilingi milioni 20. Michuano hiyo ilifanyika katika uwanja wa Amani Zanzibar.

 

related posts

Leave a Comment