Home Biashara Skuli mpya ya kisasa yafunguliwa ndani ya jimbo la Mpendae, skuli hiyo  jina lake ni Salim Turkey Primary School Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi ameifungua na kusema Serikali yake itaendelea  kujenga skuli za kisasa za msingi ili kuondoa msongamano  wa wanafunzi madarasani ili Taifa lizalishe wataalamu wazalendo.

Skuli mpya ya kisasa yafunguliwa ndani ya jimbo la Mpendae, skuli hiyo  jina lake ni Salim Turkey Primary School Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi ameifungua na kusema Serikali yake itaendelea  kujenga skuli za kisasa za msingi ili kuondoa msongamano  wa wanafunzi madarasani ili Taifa lizalishe wataalamu wazalendo.

by Ally Rutengwe

Skuli mpya ya kisasa yafunguliwa ndani ya jimbo la Mpendae, skuli hiyo  jina lake ni Salim Turkey Primary School

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi ameifungua na kusema Serikali yake itaendelea  kujenga skuli za kisasa za msingi ili kuondoa msongamano  wa wanafunzi madarasani ili Taifa lizalishe wataalamu wazalendo.

 

 

related posts

Leave a Comment