Home Habari za kijamii Katibu Tawala Wilaya ya Mjini Dkt. Said H. Mrisho akizungumza na Viongozi wa Baraza la Vijana Wilaya ya Mjini.

Katibu Tawala Wilaya ya Mjini Dkt. Said H. Mrisho akizungumza na Viongozi wa Baraza la Vijana Wilaya ya Mjini.

by

Katibu Tawala Wilaya ya Mjini Dkt. Said H.Mrisho amekutana na Viongozi wa Baraza la Vijana Wilaya kujua changamoto zao na ikiwa pamoja na mipango kazi ya mwaka 2021-2022, katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Mjini Amani Zanzibar.

related posts

Leave a Comment