Home Habari za kijamii Mkuu wa Wilaya ya Mjini, Mhe. Rashid S.Msaraka amewataka ZAWA kurekebisha bomba za maji.

Mkuu wa Wilaya ya Mjini, Mhe. Rashid S.Msaraka amewataka ZAWA kurekebisha bomba za maji.

by Ally Rutengwe

Mkuu wa Wilaya ya Mjini, Mhe. Rashid S. Msaraka amewataka ZAWA kurekebisha haraka bomba za maji zilizopita katika mitaro ya maji machafu katika maeneo ya Mkele Shehia ya Mapinduzi Unguja.

related posts

Leave a Comment