Home Habari za kijamii Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Mjini alihudhuria usafi ambao uliandaliwa na Wadau wa Mji Mkongwe na Shehia ya Mnazi Mmoja.

Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Mjini alihudhuria usafi ambao uliandaliwa na Wadau wa Mji Mkongwe na Shehia ya Mnazi Mmoja.

by Ally Rutengwe

Harakati za usafi eneo jirani na Tume ya Maadili ya Viongozi zilizofanyika Jumamosi . Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Mjini alihudhuria usafi huo ambao uliandaliwa na Wadau wa Mji Mkongwe na Shehia ya Mnazi Mmoja.

 

related posts

Leave a Comment