Home Biashara Afisa Ushirika Wilaya ya Mjini, wakishiriki katika ziara pamoja na Ushirika wa Makuli Multipurpose Co-operative

Afisa Ushirika Wilaya ya Mjini, wakishiriki katika ziara pamoja na Ushirika wa Makuli Multipurpose Co-operative

by Ally Rutengwe

Afisa Ushirika Wilaya ya Mjini na Afisa Ushirika Wilaya ya Magharibi B, wakishiriki katika ziara ya kujifunza  pamoja na kubadilishana uzoefu katika Manispaa ya  Morogoro Dodoma na Iringa akifatana na  Ushirika wa Makuli Multipurpose Co-operative, inayojishughulisha na shughuli za uchukuzi wa mizigo katika bandari ya Malindi Unguja.

related posts

Leave a Comment